MwanzoGBP / USD • Sarafu
GBP / USD
1.2524
10 Mei, 23:34:00 UTC · Kanusho
Viwango vya Ubadilishaji Sarafu
Bei iliyotangulia
1.25
Sterling is the currency of the United Kingdom and nine of its associated territories. The pound is the main unit of sterling, and the word pound is also used to refer to the British currency generally, often qualified in international contexts as the British pound or the pound sterling. Sterling is the world's oldest currency that is still in use and that has been in continuous use since its inception. In 2022, it was the fourth most-traded currency in the foreign exchange market, after the United States dollar, the euro, and the Japanese yen. Together with those three currencies and Renminbi, it forms the basket of currencies which calculate the value of IMF special drawing rights. As of late 2022, sterling is also the fourth most-held reserve currency in global reserves. The Bank of England is the central bank for sterling, issuing its own banknotes, and regulating issuance of banknotes by private banks in Scotland and Northern Ireland. Sterling banknotes issued by other jurisdictions are not regulated by the Bank of England; their governments guarantee convertibility at par. Wikipedia
Dolar ya Marekani ni pesa halali ya Marekani. Alama yake ni $. Dolar ya Marekani inapatikana kwa noti za dola 1, 2, 5, 10, 20, 50 na 100. Kuna pia sarafu ya dola 1. Dolar moja ina senti 100. Senti huitwa pia "penny" nchini Marekani. Kuna sarafu za nusu dolar, robo dolar na sarafu za senti 10, 5 na 1. Hadi mwaka 1969 noti ya dolar ya Marekani ilikuwa na ahadi ya kwamba serikali ya Marekani itampatia kila mtu dhahabu kulingana na thamani ya dola hizi akipenda kuzibadilisha. Usawa huu na thamani ya dhahabu ulifutwa. Leo hii dolar ya Marekani ni pesa ya kuiamini serikali kama pesa zote. Maana yake watumiaji husadiki ya kwamba serikali haitachapisha dola kushinda uwezo wa uchumi na thamani ya bidhaa zilizopo nchini Tanzania. Tangu mwisho wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia dolar ya Marekani imekuwa pesa kuu duniani na sehemu kubwa ya biashara ya kimataifa hukadiriwa kwa dolar hizo. Lakini tangu kupatikana kwa Euro mwaka 1999 umuhimu wa dolar ya Marekani imeanza kupungua polepole. Hata hivyo nchi mbalimbali zimeachana na sarafu zao na kuamua kutumia dolar ya Marekani tu, k.mf. El Salvador. Wikipedia
Gundua zaidi
Huenda unavutiwa na
Orodha hii imetokana na maudhui uliyotafuta hivi majuzi, hisa unazofuatilia na shughuli zingine. Pata maelezo zaidi

Data na maelezo yote hutolewa “kama yalivyo” kwa madhumuni ya taarifa binafsi tu, wala hayanuii kuwa ushauri wa kifedha na hayana madhumuni ya kufanya biashara au uwekezaji, kodi, kisheria, uhasibu au ushauri mwingine. Google si mshauri wa uwekezaji wala mshauri wa kifedha na haitoi maoni au mapendekezo yanayohusiana na kampuni zozote zilizojumuishwa kwenye orodha hii au hisa zozote zilizotolewa na kampuni hizo. Tafadhali wasiliana na dalali wako au mwakilishi wa kifedha ili uthibitishe bei kabla ya kufanya biashara yoyote. Pata maelezo zaidi
Tafuta
Futa utafutaji
Funga kisanduku cha kutafutia
Programu za Google
Menyu kuu